welcome

Je! ni kitu gani kinachoweza kukusimua kuliko kutarajia mashindano yajayo ya soka? Inaonekana kama wapenzi wote wa soka wanajua ratiba ya mashindano na wanasubiri kwa hamu zote matukio yajayo. Serie A ni moja ya matukio kama hayo na mashabiki wote wa soka kutoka Tanzania tayari wanaangalia mechi hizo. Soka linapendwa sana nchini Tanzania sio tu kwa sababu ya mchezo wa kucheza lakini fursa nzuri za kubeti ambapo huwapa wenyeji pia.

Serie A ni ligi zenye hadhi ya juu na kitaalam ya soka kati ya vilabu bora vya soka vya mfumo wa ligi ya Italia. Historia ya mashindano haya ya robini inarudi mwanzoni mwa karne ya 20. Imekuwa ikifanya kazi kwa zaidi ya miaka 90. Katika nyakati za sasa, Serie A ndio ligi bora zaidi ya soka ulimwenguni. Ikiwa tunachambua mgawo wa ligi ya UEFA, tunaweza kuona kwamba Serie A inashika nafasi ya tatu kati ya Ligi za Ulayaa baada ya EPL na La Liga. Kwa ujumla, mashindano ya Serie A ni moja wapo ya matukio ya soka yanayosubiriwa kwa muda mrefu ulimwenguni! Ikiwa unapenda pia soka na unataka kupata pesa, angalia kwenye msimamo wa Serie A, na ubeti kwenye timu unayopenda kwenye jukwaa la kubeti la Parimatch!

Serie A ya Italia 2020-2021

Ngoja tuangalie kwa undani msimu wa Serie A 2020-2021. Serie A inajumuisha vilabu 20. Msimu kawaida huwa na raundi za nyumbani na ugenini na huchukua Agosti hadi Mei. Kila klabu inayoshiriki mashindano hucheza na timu zingine mara mbili. Kawaida hucheza mechi moja nyumbani na nyingine ugenini.

Msimu ujao ni toleo la 119 la ligi hii ya soka ya Italia. Juventus ndiye mshindi wa msimu uliopita. Timu hii ilikuwa bora na ilipata alama 83 kutoka kwenye mechi 38. Timu kama SPAL, Brescia, na Lecce zilitupwa huko Serie B.

"Andata" ni jina la mzunguko wa kwanza wa msimu. Hapa, kila timu inahitaji kucheza dhidi ya mpinzani. Kawaida hudumu kwa mechi 19.

"Ritorno" ni jina la mzunguko wa pili wa mashindano. Timu zote kawaida hucheza ugenini lakini kwa mpangilio sawa.

Timu nne bora hupata nafasi ya kucheza kwenye Ligi ya Mabingwa ya UEFA. Timu ya nafasi ya tano kawaida zinafuzu kwenda Ligi ya Ueropa. Timu ya nafasi ya sita na saba zitacheza mtoano kwenda ligi ya Europa.

Serie A 2020-2021 ni msimu wa kibabe ambao hakika ni mzuri kwa kubeti. Haupaswi kukosa fursa ya kupata pesa wakati unabetia timu yako pendwa ya soka. Juu ya hayo, Parimatch ni mshirika rasmi wa Juventus na Leicester. Kwa hivyo, pata mechi za timu unayopenda, weka pesa na anza kubeti mara moja!

Ratiba za Serie A 2020-2021

Serie A ilianza msimu wa vuli septemba 19, 2020. Mechi ya mwisho imepangwa Mei 23, 2021. Klabu zinazoshiriki Serie A zinaweza pia kufuzu kucheza kwenye ligi kama vile:

  • Ligi ya Mabingwa ya UEFA
  • Mtoano wa kwenda Ligi ya Europa
  • Ligi ya Europa

Ikiwa hautaki kukosa fursa zako za kubashiri na unataka kuanza kubeti mara moja, nenda kwenye tovuti ya Parimatch. Tayari tumekuwekea ratiba ya Serie A. Kwa hivyo, ni wakati muafaka wa kuangalia ratiba ya mechi za Serie A na mwishowe uweke beti yako ya kwanza!

Weka beti za mechi za mapema kwenye mechi za Serie A

Beti za Live za Serie A

Parimatch ni jukwaa la kubashiri linaloweza kutumiwa na mtumiaji linalokuja na chaguzi pana na bora za kubeti. Mmoja wapo ni kubeti live mechi za soka zinajitokeza! Kwenye Parimatch unaweza ama kubashiri mechi za mapema au kubeti kwenye timu yako pendwa ya soka wakati wa mchezo. Ikiwa haujawahi kuweka beti za live hapo awali, bila shaka unapaswa kujaribu! Uzoefu mzuri wa kubeti umehakikishiwa!

Jaribu kubeti wa live kwenye ratiba za Serie A

Timu Kubwa za Serie A

Jambo ni kwamba hatuwezi kukupa takwimu sahihi kwa sababu msimamo kawaida hubadilika kadri mechi za soka zinavyojitokeza. Mapitio yaliyoorodheshwa hapa chini yameegemea kwenye taarifa za sasa. Kumbuka kuwa katika siku za usoni, inaweza kubadilika. Itazame na mwishowe uweke beti zako za kwanza na ushinde kupitia kwenye tovuti ya Parimatch:

  • AC Milan

AC Milan (mashabiki huita klabu hii mara kwa mara Milan) haitaji kutambulishwa. Ni klabu ya soka ya Italia ambayo ina makombe mengi ikiwamo Kombe moja la Dunia la vilabu (FIFA), Vikombe vitatu vya Kimataifa, na saba za Kombe la Europa/Ligi ya Mabingwa. Linapokuja suala la kuchambua timu bora za Serie A, FC Milan ni ya pili kufanikiwa zaidi.

  • Inter Milan

Inter Milan, au Inter tu, ina sifa nzuri. Hawajawahi kutolewa kutoka kwenye timu bora za soka za Italia. Leo, Inter Milan inaweza kujivunia makombe 30 ya ndani kama vile makombe 18 ya ligi, 7 Coppa Italia, na 5 Supercoppa Italiana. AC Milan ndiye mshindani wao mkuu.

  • Napoli

Klabu hii ya soka iko Napoli. Historia yake ilianza mnamo 1926, lakini walipata mafanikio katika soka tu mnamo 1980 wakati Diego Maradona alinunua klabu. Kwa ujumla, wana makombe mengi ya soka pamoja na makombe sita ya Coppa Italia, Kombe moja la UEFA, makombe mawili ya ligi, na mawili ya Supercoppa Italia. Washindani wao wakuu ni Palermo na Roma.

  • Juventus

Klabu hii ya soka ina mamilioni ya mashabiki ulimwenguni ambayo huiita Juve. Leo, Juventus ni vinara kwenye soka la Italia. Makombe yao 36 ya ligi, 13 ya Coppa Italia na mengine tisa ya Supercoppa Italia. Mbali na hilo, Juventus pia ina vikombe viwili vya UEFA Super Cup na vikombe vitatu vya UEFA.

  • Roma FC

Historia ya klabu hii ya soka ilianzia 1927. Leo, Roma FC imeweza kupata matokeo mazuri katika soka - walikuwa washindi wa Serie A mara tatu. Roma FC pia inajivunia makombe tisa ya Coppa Italia na mawili ya Supercoppa Italia.

  • Atlanta FC

Klabu hii ya soka iko Bergamo, Italia. Mshindani wao mkuu katika soka ni Brescia FC. Mnamo 2010, walipanda daraja kutoka Serie B hadi Serie A na wakaanza kucheza kwenye mashindano haya. Walicheza pia kwenye ligi ya Europa na walifika hatua ya robo fainali.

Wafungaji Bora wa Serie A

Sasa, tuendelee kuangalia wachezaji bora wa soka. Tulikusanya pia orodha ya wachezaji bora wa soka ili ufanye chaguo sahihi wakati wa kubeti. Lakini kumbuka kuwa orodha hii imeegemea kutoka kwenye takwimu za Januari 2021. Msimamo unaweza pia kubadilika, mengi yanategemea matokeo ya mchezo. Mfahamu mfungaji bora wa Serie A na mwishowe uanze kubeti mara moja!

  • Cristiano Ronaldo

Hata kama wewe ni mgeni katika soka, labda umesikia jina hili. Ronaldo ni mmoja wa wanasoka wenye mafanikio na tajiri zaidi ulimwenguni. Sasa, ni mshambuliaji wa Juventus na nahodha wa timu ya taifa ya Ureno. Leo, Cristiano Ronaldo ndiye kinara wa mataji matano ya Ballon d'Or na European Golden Shoe nne. Ana mataji 31 ​​muhimu na magoli 134.

  • Ciro Immobile

Ciro Immobile ni streka, anayechezea klabu ya Lazio na timu ya taifa ya Italia. Wakati wa kukuza taaluma yake ya soka, Ciro Immobile pia alichezea Borussia Dortmund na Juventus. Sasa, mtu huyu anaweza kujivunia tuzo nyingi muhimu za soka kama Coppa Italia, mataji mawili ya Supercoppa Italia, na European Golden Shoe.

  • Romelu Lukaku

Mchezaji huyo wa soka anatokea Ubelgiji. Alianza maisha yake ya soka akiwa na miaka 16. Romelu Lukaku alichezea Manchester United, Chelsea, na West Bromwich Albion. Miaka miwili iliyopita, alijiunga na Inter Milan na kwa sasa anachezea timu hii.

  • Lautaro Martinez

Streka huyu hodari kwa sasa anachezea Inter Milan na timu ya taifa ya Argentina. Lautaro Martinez alianza kuichezea Inter Milan mnamo 2018. Sasa, kijana huyu ana umri wa miaka 22 tu, lakini ana thamani ya $77 milioni.

  • Zlatan Ibrahimovic

Mwanasoka huyu wa Swideni ni mshambuliaji anayeichezea AC Milan. Hapo awali, alikuwa akichezea vilabu vya soka kama vile Juventus, Manchester United, Inter na Barcelona. Leo, Zlatan Ibrahimovic ana sifa nzuri katika eneo hili. Hivi sasa ana mataji 31 ya soka.

Beti Serie A na Parimatch

Serie A ni tukio linalosubiriwa kwa hamu kwa mashabiki wa soka nchini Tanzania. Kwa kuongezea, pia inatoa safu pana ya fursa za kubashiri kwa wabetiji. Lakini, lazima uchague jukwaa sahihi la kubeti ambalo linahakikisha malipo ya haraka na hushughulikia haraka maombi ya wateja. Hapa ndipo huduma za jukwaa la kubashiri Parimatch linaweza kuwa suluhisho sahihi.

Angalia sababu kuu kwa nini unahitaji kubeti kwenye Parimatch na mwishowe uweke beti yako ya kwanza:

  • Huduma kwa wateja
  • Kiwango kidog cha kuweka pesa na malipo ya haraka.
  • Masoko mengi ya kubeti kuchagua.
  • Uwezo wa kushinda jackpot wakati unacheza kwenye timu yako pendwa ya soka.
  • Mchakato rahisi wa kujisajili.
  • Programu rahisi ya simu inayoweza kutumiwa na mtumiaji yoyote na kumuwezesha kudhibiti ubashiri wake popote ulipo.

Kwa hivyo usisite kwa sababu ni wakati kubeti na Parimatch!