CAF Champions League 2023-2024: Kubetia Mashindano Makubwa ya Mpira wa Miguu Afrika

Ligi ya Mabingwa Afrika imeanza kwa kasi, na ubora mkubwa wa mpira wa miguu uliotarajiwa umekuwa ukionekana tokea mwanzo. Sisi hapa Parimatch tutatoa dondoo na machaguo bora ya kubetia kwa ajili ya matumizi. Pia tutakupa taarifa kuhusu mashindano haya katika makala hii.
👉 JIUNGE KWENYE PARIMATCH UPATE BONASI!
Ligi ya Mabingwa Afrika ndio mashindano makubwa zaidi ya vilabu vya mpira wa miguu barani yanayoshuhudia timu bora zaidi za vilabu vya Afrika zikishindana kujuwa nani ndio bora zaidi barani. Kwa sababu ya ukubwa wake, mashindano haya huwa yanaangaliwa kwa sehemu kubwa na mashabiki wa mpira wa miguu barani kote na zaidi.
Ni mojawapo ya mashindano yanayoangaziwa kwa mapana, ikimaanisha unaweza kukusanya taarifa za kutosha ikiwa unataka kuyabetia. Hebu tuendelee na tujifunze kila taarifa inayowezekana kwa ajili ya kubetia Ligi ya Mabingwa Afrika 2023-2024 kwa Parimatch.
Fainali ya Ligi ya Mabingwa CAF 2024
Baada ya mechi 60 na zaidi ya mabao 90 kufungwa, tupo tayari kwa pambano la mwisho kati ya Esperance Tunis na Al Ahly. Tofauti na misimu mitatu iliyopita, msimu huu wa fainali ya CAF utachezwa kwa mizunguko miwili, kama ilivyoamuliwa na CAF kwenye kikao cha kamati ya utendaji mnamo Julai 3 huko Rabat. Kwa hiyo, Stade Olympique Hammadi Agrebi watakuwa wenyeji wa mkondo wa kwanza ifikapo Mei 19, wakati mchezo wa marudiano utachezwa kwenye uwanja wa kimataifa wa Cairo ifikapo Mei 25, 2024.
Ulijua Hili? Uamuzi wa fainali ya Ligi ya Mabingwa Africa kwa mizunguko miwili 2023/2024 ulianza kutekelezwa baada ya Al Ahly kutoa malalamiko rasmi kwa CAF kuhusu chaguo la Stade Mohammed V huko Casablanca kama uwanja wa fainali ya mwaka 2022. Ingawa nia ilikuwa fainali kuchezwa kwenye uwanja usioegemea upande wowote, mchuano wa mwaka 2022 ulikamilika kwa uwanja kuwa uwanja wa nyumbani wa mpinzani wao, Wydad Casablanca.
Taarifa za Ligi ya Mabingwa Afrika
CAF Champions League 2023-24
Tarehe za Ligi ya Mabingwa Afrika 2023-24 |
18 Agosti – 26 Mei 2024 |
Msimamizi |
|
Klabu zinazoshiriki |
Wydad Athletic Club, Petro de Luanda, JS Kabylie, AS Vita Club, Al Ahly, Mamelodi Sundowns Al Hilal, Coton Sport, Raja Club Athletic Horoya AC Simba SC, Vipers SC, Esperance, Zamalek, CR Belouizdad, Al Merrikh |
Uwanja wa Fainali |
Mzunguko wa Kwanza: Stade Olympique Hammadi Agrebi Mechi ya Pili: Uwanja wa kimataifa wa Cairo |
Mtindo wa kucheza |
Hatua ya Makundi, Mtoano |
Washindi wa CAFCL 2022-23 |
Al Ahly |
Timu Yenye Mafanikio Zaidi |
Al Ahly |
Mtindo wa Kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika
- Michuano hii ya CAF Champions League itachezwa kati ya timu 16 kwa ujumla ambazo zinawekwa katika makundi 4;
- Washindi wa kwanza na wa pili katika kila kundi watatinga kwenye hatua za robo fainali;
- Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika (CAFCL) 2023-24 itakuwa ni ya mechi mbili kati ya timu mbili zitakazoingia hatua ya fainali.
Ukweli Kuhusu CAFCL
- Ligi ya Mabingwa Afrika ilianzishwa mnamo mwaka 1964 na hapo mwanzo iliitwa Kombe la Afrika la Klabu Bingwa;
- Mshindi wa kwanza wa michuano hii alikuwa Oryx Douala ya Cameroon, ikiichapa Stade Malien ya Mali bao 2-1 katika siku ya uzinduzi wa fainali; Jina la michuano hii lilibadilishwa kuwa Ligi ya Mabingwa Afrika mnamo mwaka 1997, na muonekano wa jina hili ulibadilishwa na kuonekana zaidi kama Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA);
- Mfungaji bora wa muda wote katika mashindano haya ni Trésor Mputu, ambaye ameweka kambani mabao 39 katika mechi 69 alizocheza.
Nyota wa CAF Champions League
- Tiago Azulão: Mshambuliaji huyu wa Petro De Luanda alikuwa mfungaji bora katika mashindano haya msimu uliopita akiwa na magoli sita na anatazamia kuwa mfungaji bora tena.
- Zizo: Kiungo huyu shujaa wa Zamalek tayari anavutia kwa kiwango chake katika eneo la kiungo na atakuwa na mchango wa muhimu ikiwa Zamalek wanataka kupata mafanikio katika mashindano haya.
- Cassius Mailula: Mshambuliaji huyu wa Mamelodi Sundowns kwa sasa ndiye mfungaji bora wa michuano hii. Ikiwa unatafuta kumbetia mtandoni mtu anayeweza kufunga kwenye mchezo wowote katika michuano hii, hii ndio mashine ya kuchakata magoli.
Kwa CAFCL mwaka huu, wafuatao ni wafungaji watatu bora:
- Sankara Karamoko (magoli 4)
- Pacome Zouzoua (magoli 3)
- Joel Beya (magoli 2)
⚽️ TABIRI MATOKEO YA LIGI YA MABINGWA AFRIKA
Bashiri za Ligi ya Mabingwa Afrika
Hatua za makundi za Ligi ya Mabingwa Afrika zinatoa fursa kubwa sana kwa mashabiki wa mpira wa miguu mtandaoni kutumia machaguo ya kubeti yanayopatikana Parimatch. Ni wakati wako wa kuacha alama kubwa sana kwenye fainali ya mashindano haya!
Haitoshi kuwa unasapoti tu timu na unataka ishinde, unaweza pia kuwa mshindi kwa kubeti na kwa kubashiri timu yako ishinde.
Kwa mfano, ikiwa timu yako ni bora sana mbele ya goli na mpinzani wako ni yule ambaye anajulikana kwa kuruhusu nafasi na magoli mengi, unaweza kubashiri kuwa timu yako itafunga kiwango cha magoli “X” katika mechi husika kwa kutumia app yetu ya kubetia mtandaoni.
Kwa upande mwingine, ikiwa timu zote mbili ni nzuri katika kupachika magoli, unaweza kubeti kuwa timu zote mbili zitafunga huku timu unayoisapoti itashinda mwisho wa mchezo.
Kubeti Kabla ya Mechi & Odds
Kubeti kabla ya mechi ni moja ya mitindo bora ya kubeti kwa sababu unaweza kuzifahamu timu unazotaka kuzibetia na kufanya maamuzi mapema.
Unaweza kutazama orodha ya michezo ya CAF iliyopo kwa siku hiyo ya mechi na hata zaidi, tazama wapinzani wanaokutana nao, rudi na tazama historia zao na halafu amua aina gani ya beti itakuwa nzuri kwako.
Faida nyingine ya kubeti kabla ya mechi ni kuwa odds hazibadiliki badiliki kwa kiasi kile mara kwa mara. Hata kama odds zikibadilika badilika siku nzima hadi kwenye namba usiyoipenda, unaweza kwa urahisi kuondoa chaguo husika na kuchagua jingine kutoka kwenye mkusanyiko wetu mkubwa wa odds.
Hasara kubwa ya kubeti kabla ya mechi ni kuwa ukishaweka beti yako, haiwezi kubadilishwa pindi mechi ikiwa imeanza.
Beti kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika hapa
Kubeti Laivu & Odds
Pindi ukiweka beti kwenye tukio husika baada ya kuwa limeanza lakini kabla halijamalizika, hii inaitwa kubeti laivu. Kwa mechi za mpira wa miguu, hii inaweza kutokea katika wakati wowote muda wote wa mchezo, aidha ni wakati wa kipindi cha kwanza, cha pili, au mapumziko. Katika kubeti laivu, odds huwa zinabadilika badilika muda wote kutegemeana na nini kinatokea wakati wa mechi.
Faida ya kubeti laivu ni kuwa kwa sababu unabeti kulingana na hali ya mchezo, unaweza kubashiri nini kinaweza kutokea muda mchache ujao. Kwa mfano, ikiwa timu husika imekuwa ikifanya mashambulizi mara kwa mara kwa muda mrefu, unaweza kubeti kuwa watafunga goli litakalofuata. Kubeti laivu kunakupa unyumbulifu huo.
Hasara ya kubeti laivu ni kuwa kwa sababu ya aina yake, unaweza kuweka mawazo yote kwenye mechi moja na kupuuza mechi nyingine inayoendelea wakati huo huo. Ukifanya hili, unaweza kukosa chaguo lingine pendwa linaloweza kukupa ushindi katika mchezo mwingine wa laivu.
Inapokuja kwenye kubeti laivu, tunatoa odds bora za kubetia Ligi ya Mabingwa Afrika, ambazo unaweza kuzitumia kadri ya uwezo wako.
Jaribu Beti Laivu za Mpira wa Miguu kwa Ushindi wa Haraka
Orodha ya Michezo ya Ligi ya Mabingwa Afrika
Michuano hii mwanzoni ilianza na timu 58 ambazo zilicheza mizunguko miwili ya kufuzu kuwa sehemu ya michuano mikubwa. Baada ya mizunguko hiyo, timu 16 bora zilizofuzu ziliwekwa kwenye makundi manne.
Ni timu mbili tu kati ya kila timu nne zilizogawanywa kwenye makundi zitatinga nane bora ya mashindano. Mizunguko yote ya mtoano itakuwa ya mechi mbili, ikihusisha fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika.
Hatua |
Mzunguko |
Tarehe ya droo |
Mechi ya kwanza |
Mechi ya pili |
Kufuzu |
Mzunguko wa kwanza |
25 Julai 2023 |
18-20 Agosti 2023 |
25-27 Agosti 2023 |
Mzunguko wa pili |
15-17 Septemba 2023 |
29 Septemba-1 Oktoba 2023 |
||
Hatua ya Makundi |
Siku ya 1 ya Mechi |
Oktoba 2023 |
26 Novemba 2023 |
|
Siku ya 2 ya Mechi |
3 Desemba 2023 |
|||
Siku ya 3 ya Mechi |
10 Desemba 2023 |
|||
Siku ya 4 ya Mechi |
20 Desemba 2023 |
|||
Siku ya 5 ya Mechi |
23-24 Februari 2024 |
|||
Siku ya 6 ya Mechi |
1–2 Machi 2024 |
|||
Hatua ya Mtoano |
Robo Fainali |
Machi 2024 |
29–30 Machi 2024 |
5-6 Aprili 2024 |
Nusu Fainali |
19–20 Aprili 2024 |
26-27 Aprili 2024 |
||
Fainali |
19 Mei 2024 |
25 Mei 2024 |
Msimamo wa Ligi ya Mabingwa Afrika
Kundi A
Nafasi |
Timu |
Mechi |
Ushindi |
Sare |
Kufungwa |
GF |
GA |
GD |
Alama |
1 |
Mamelodi Sundowns |
6 |
4 |
1 |
1 |
7 |
1 |
+6 |
13 |
2 |
TP Mazembe |
6 |
3 |
1 |
2 |
6 |
2 |
+4 |
10 |
3 |
FC Nouadhibou |
6 |
1 |
2 |
3 |
4 |
9 |
−5 |
5 |
4 |
Pyramids |
6 |
1 |
2 |
3 |
3 |
8 |
−5 |
5 |
Kundi B
Nafasi |
Timu |
Mechi |
Ushindi |
Sare |
Kufungwa |
GF |
GA |
GD |
Alama |
1 |
Benghazi ASEC Mimosas |
6 |
3 |
2 |
1 |
7 |
2 |
+5 |
11 |
2 |
Simba |
6 |
2 |
3 |
1 |
9 |
2 |
+7 |
9 |
3 |
Wydad AC |
6 |
3 |
0 |
3 |
3 |
4 |
−1 |
9 |
4 |
Jwaneng Galaxy |
6 |
1 |
1 |
4 |
1 |
12 |
−11 |
4 |
Kundi C
Nafasi |
Timu |
Mechi |
Ushindi |
Sare |
Kufungwa |
GF |
GA |
GD |
Alama |
1 |
Petro de Luanda |
6 |
3 |
3 |
0 |
5 |
0 |
+5 |
12 |
2 |
Espérance de Tunis |
6 |
3 |
2 |
1 |
6 |
3 |
+3 |
11 |
3 |
Al Hilal |
6 |
1 |
2 |
3 |
4 |
5 |
−1 |
5 |
4 |
Étoile du Sahel |
6 |
1 |
1 |
4 |
2 |
9 |
−7 |
4 |
Kundi D
Nafasi |
Timu |
Mechi |
Ushindi |
Sare |
Kufungwa |
GF |
GA |
GD |
Alama |
1 |
Al Ahly |
6 |
3 |
3 |
0 |
6 |
1 |
+5 |
12 |
2 |
Young Africans |
6 |
2 |
2 |
2 |
9 |
6 |
+3 |
8 |
3 |
CR Belouizdad |
6 |
2 |
2 |
2 |
7 |
6 |
+1 |
8 |
4 |
Medeama |
6 |
1 |
1 |
4 |
3 |
12 |
−9 |
4 |
Machaguo & Dondoo za Kubetia CAF Champions League
Katika sehemu hii, tutakupa baadhi ya dondoo za kubetia Ligi ya Mabingwa Afrika ambazo zitakusaidia katika beti zijazo.
1. Kitu kimoja unachoweza kufanya ni kuziunga mkono timu pendwa. Namna ya kulifanya hili ni kutazama odds za kabla ya mechi na kutafuta timu yenye odds ndogo katika kila mchezo na kuisapoti kushinda mechi husika.
Kwa mfano, Mabingwa mara 11 wa CAF Al Ahly watamenyana na Esperance Tunis tarehe 25 Mei kwenye uwanja wao wa nyumbani. Ahly watakuwa na uwezekano mkubwa wa kutawala kwenye mazingira yao ya nyumbani. Hii ina maana kuwa timu ya nyumbani inapendelewa kwa kiasi kikubwa kushinda mechi hiyo.
Ukiwa unabeti kama hivi, kutazama odds ni muhimu lakini pia unahitaji kuangalia kiwango cha hivi karibuni cha timu hizi. Na pia kiwango cha timu iliyo nyumbani. Kutokana na kwamba haya ni mashindano ya bara, ubora wa Ligi ambazo timu zote mbili zinacheza huwa unakuwa tofauti pia. Hii ni muhimu katika kuamua muongozo wa viwango utakuwa wa kutegemea kiasi gani.
2. Namna nyingine ya kubeti kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika ni kwa kubeti kwenye kipindi cha kwanza na cha pili. Ukibeti kwenye vipindi, iwe ni kipindi cha kwanza au cha pili, kimsingi unaibana beti husika kwenye yatakayotokea katika kipindi hicho tu.
Ikiwa, kwa mfano, katika mechi kati ya Esperance Tunis na Al Ahly mnamo Mei 19, ungeweza kubeti kuwa katika kipindi cha kwanza, kutakuwa na zaidi ya magoli 1.5 kwenye ubao wa magoli kabla ya mapumziko. Hii inamaanisha kuwa walau magoli mawili yatafungwa katika kipindi cha kwanza. Unaweza pia kuamua kubeti kuwa timu moja itashinda kwenye kipindi cha kwanza. Utajua zaidi kuhusu ratiba ya CAF Champions League 2023/24.
Ukiamua kubeti kwa vipindi, ni muhimu kuangalia timu zote mbili, wachezaji wakuu wa Ligi ya Mabingwa wa CAF wanaohusika, na muundo wao wa kufunga mabao. Ikiwa timu zote mbili zimezoea na zinajulikana kufunga mara nyingi katika kipindi cha kwanza cha mechi, basi unaweza kuweka beti yako kulingana na matokeo ya utafiti wako.
3. Dondoo ya tatu ya Kubetia Ligi ya Mabingwa Afrika tunayokupa ni kubeti kwenye timu ipi itafunga goli la mwisho. Ili kuweka beti sahihi kwenye chaguo hili husika, unatakiwa kuzingatia vitu vichache.
Kwanza, unatakiwa kutazama mida ya magoli ya timu husika. Timu unayochagua kwa chaguo hili la beti inatakiwa kuwa timu ambayo hufunga magoli dakika za lala salama katika michezo yake. Timu hii si lazima iwe bora. Ili mradi inaweza kukupa matokeo haya, unaweza kuichagua.
Pili, unahitaji kufikiria kuhusu rekodi za kujilinda. Kwa timu unayoichagua, idadi ya mechi walizocheza bila kuruhusu magoli ni muhimu, hasa wakiwa wanautawala mpira mbele ya goli. Kwa timu pinzani, unatakiwa kuangalia ni magoli mangapi huwa wanaruhusu na ni wakati gani wanayaruhusu pia. Ikiwa wao ni timu isiyo nzuri kwenye kujilinda, utaweza kufanikiwa kwenye beti yako.
Pindi ukikamilisha utafiti wako, utaweza kuweka beti fanisi zaidi.
Kwa kuzingatia vidokezo hivi, hautaweza kubeti kwa uhakika kwenye fainali, ila unaweza kufanya ubashiri sahihi kuhusu ratiba ya CAF Champions League 2023/24.
Parimatch haitoi tu odds na machaguo ya kubeti ya kiwango cha juu, lakini pia tunakupa ujuzi wa kitaalamu. Kituo chetu cha uchambuzi, bashiri, na makala za machaguo ya mechi bora za mpira wa miguu ni sehemu nzuri ya kutazama ukiwa na mashaka au ukiwa unahitaji ujuzi zaidi kuhusu kubetia CAFCL na zaidi.
⚽️ BETI KWENYE LIGI YA MABINGWA AFRIKA
Michuano Mikubwa Zaidi
- Mechi za Leo za Mpira wa Miguu
- Kombe la Shirikisho la CAF
- Ligi Kuu Tanzania
- EPL
- AFCON
- Muongozo wa Kubetia Kombe la Dunia Klabu FIFA 2023-2024
Hitimisho
Dondoo za CAFCL hasa fainali zipo hapa. Inaashiria fursa bora zaidi ya kuweka utaalamu wako wa kandanda na kushinda kiasi kikubwa sana cha pesa. Kumbuka, hakuna sehemu nzuri zaidi ya kufaidika nayo zaidi yetu sisi hapa Parimatch kwa sababu tunatoa machaguo na odds babukubwa za kubeti ambazo utahangaika sana kuzipata sehemu nyingine!
Kwanini usubiri sasa? Jiunge Parimatch sasa hivi ili kutumia jukwaa bora zaidi Afrika na upate bonasi nono! Kaa tayari kupata kila kitu, omba uwe na bahati nzuri, tabiri matokeo ya Ligi ya Mabingwa CAF kwenye fainali, na unyakue zawadi nzuri.
Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara
❓ Je! Nani ndiye mfungaji bora wa Ligi ya Mabingwa Afrika?
Mfungaji bora wa muda wote kwa sasa wa Ligi ya Mabingwa Afrika ni Trésor Mputu wa Mazembe Kabuscorp, akiwa na magoli 39.
❓ Je! Ipi ndio timu yenye mafanikio zaidi katika Ligi ya Mabingwa Afrika?
Al Ahly ndio klabu yenye mafanikio zaidi katika historia ya CAFCL. Wana rekodi ya kuwa washindi wa michuano hii mara 11.
❓ Je! Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika itachezewa katika uwanja upi?
Fainali ya Ligi ya Mabingwa CAF 2024 itachezwa kwa mizunguko miwili kwenye viwanja viwili tofauti. Mechi ya kwanza itachezwa kwenye uwanja wa kimataifa wa Cairo na uwanja wa kimataifa wa Cairo, Hammadi Agrebi, wakiwa wenyeji.
❓ Je! Ligi ya Mabingwa Afrika itaonyeshwa kwenye televisheni?
Ligi ya Mabingwa Afrika itaonyeshwa kwenye televisheni barani kote Afrika, haswa kupitia Supersport.
❓ Je! Ligi ya Mabingwa Afrika ina thamani gani?
Washindi wa Ligi ya Mabingwa Afrika watapata dola milioni 4.0 kama zawadi ya kifedha.