Wanacheza – Unashinda Jiunge sasa
Mwanzo / / Simba dhidi ya Mbeya City: Historia, Takwimu, na Matokeo

Ligi Kuu ya Tanzania Bara inajulikana kwenye michezo kama vile Simba FC dhidi ya Yanga Sports Club. Hata hivyo, mvutano wa kweli na msisimko upo kwenye mtanange kati ya Simba dhidi ya Mbeya City.

Kwenye hii makala utakutana moja kwa moja na takwimu. Kuanzia historia ya matukio ya kukumbukwa hadi kwenye fursa za kusisimua za kubetia, mechi hii inatoka hapa Parimatch Tanzania. Hapa ndipo kwenye vita ya kupigania nafsi ya Bingwa wa Tanzania kwenye ligi hufanyika kwenye madimba kadha wa kadha ikiwemo kwenye gemu hii.

Hapa hakuna sheria maalum. Hakuna maelezo ya ajabu sana. Hakuna michezo na taarifa iliyotolewa kabla ya gemu. Jambo moja tu ni la uhakika kuwa kwenye hii dabi kuna msisimko wa aina yake. Na huu ndio ukweli kuwa hayupo shabiki wa kandanda ambaye anaweza kumudu kuikosa gemu ya aina hii. Twende kazi sasa!

Madimba Simba Mbeya City
Jina Uhuru Stadium Sokoine Stadium
Uwezo wa Kubeba Mashabiki 18000 10000

Simba dhidi ya Mbeya City Wakikutana Uso kwa Uso

Goals are scored in this derby

Ushindani kati ya Simba na Mbeya City ni sehemu ya mitanange ya kale sana ambayo hufufuliwa pale kila timu zinapokutana. Hata hivyo, Simba SC, Wekundu wa Msimbazi, wamethibitisha kila wakati kuwa wao ni watabe wa hili pambano.

Kwa upande mwingine, Mbeya City, a.k.a The Green City Boys, siku zote inaonekana kuwa ni timu yenye kiwango cha chini. Daima Simba dhidi ya Mbeya City ni mchezo mzuri kwenye ubora wake.

Kulingana na Takwimu za Ligi, Simba na Mbeya City wamepambana kwenye gemu 17. Pamoja na Wekundu hao wa Msimbazi kukaa sawa na kaulimbiu yao inayosema, “IGA UFE HII NI TIMU YA KIBABE,” wameshinda jumla ya michezo 11.

Mbeya City, kwa upande mwingine, imebahatika kushinda gemu mbili tu, huku 4 kati ya hizo zikimalizika kwa sare. Simba dhidi ya Mbeya City ni gemu ambayo inasimamisha muda ambapo, kwa wastani, timu zote mbili zinakubali au kufunga wastani wa magoli 2.65 kwa kila mechi. Je, chaguo la gemu kuisha kwa zaidi ya magoli 2.5, ni jema sana, ama sivyo? Kweli, tunadhani lengo lako ni zuri kama letu.

Jedwali la hapa chini linaonesha namna mechi za Simba dhidi ya Mbeya City zilivyokuwa kwenye Ligi ya Tanzania Bara.

Mataji Simba SC Mbeya City
Ligi Kuu Bara 5 0
Kombe la Klabu CECAFA 0 0
Kombe Kuu la SportPesa 0 0

Simba SC.

Klabu ya soka ya Simba SC imekuwa na nguvu ya ufungaji, wastani wa magoli 2.60 kwa kila mechi. Wakicheza uwanja wa nyumbani, mara kwa mara wamekuwa wakijipatia zaidi ya magoli 1.5 kwenye 100.00% ya gemu zao. Zaidi ya hayo, kwenye 50.00% ya gemu zao za uwanja wa nyumbani, tumeshuhudia hatua kubwa zaidi, kwa jumla ya magoli 2.5.

Kikosi cha Simba FC

Makipa

  • ALLY SALIM JUMA
  • AISHI MANUAL

Mabeki

  • CHE FONDOH MALONE JUNIOR
  • HENOC INONGA BAKA
  • MOHAMMED HUSSEINI MOHAMED
  • SHOMARI SALUM KAPOMBE

Wachezaji wa kati

  • LUIS JOSE MIQUISSONE
  • LEANDRE WILLY ESSOMBA ONANA
  • SAÏDI NTIBAZONKIZA
  • CLETUS CHAMA
  • SADIO KANOUTE
  • MZAMIRU YASSIN

Washambuliaji

  • JEAN TORIA BALEKE OTHOS
  • MOSES PHIRI
  • KIBU DENIS PROSPER
  • RAPHAEL BOCCO
  • SHABANI IDD CHILUNDA

The clash between Simba vs Mbeya City

Mbeya City

Klabu ya Mbeya City ilidumisha wastani wa magoli 1.13 kwa kila mechi kwenye msimu uliomalizika wa mwaka 2022/2023. Gemu zao zina zaidi ya magoli 1.5 kwenye 68.75% ya pale wanapokutana nao ugenini. Na kwenye asilimia 37.50 ya mechi hizi za ugenini, magoli mengi yamefungwa, huku zaidi ya magoli 2.5 ikiwa ni yale ya kawaida.

Kikosi cha Mbeya City

Makipa

  • T. SEIF KIAKALA
  • R. NGODYA
  • B. MWALUBUNJU

Mabeki

  • J. SHEMVUNI
  • A. HAMZA
  • H. MUHAMUD
  • H. MAULID
  • A. ISSA

Viungo wa kati

  • KIHIMBWA
  • G. SANGIJA
  • K. KUNAMBI
  • J. KIBANDA

Washambuliaji

  • S. SABILO
  • E. AMBOKILE

Matokeo ya Simba dhidi ya Mbeya City

18/01/23 LKB Simba F.C 3 – 2 Mbeya City
23/11/22 LKB Mbeya City 1 – 1 Simba SC
16/06/22 LKB Simba SC 3 – 0 Mbeya City
17/01/22 LKB Mbeya City 1-0 Simba SC
22/06/21 LKB Simba SC 4-1 Mbeya City
13/12/20 LKB Mbeya City 0- 1 Simba SC
24/06/20 LKB Mbeya City 0- 2 Simba SC
03/11/19 LKB Simba SC 4-0 Mbeya City

Mechi Ijayo Simba dhidi ya Mbeya City

Mchezo wa mwisho kati ya Simba na Mbeya City ilikuwa ni mnamo tarehe 18 Januari, 2023, na kuishia kwa matokeo ya 3-2 kwenye ushindi wa Simba SC. Walakini, huyu alikuwa ni moja ya Mabingwa wa gemu za ligi mara ya mwisho pale vigogo hawa wawili wa soka walipochuana vikali.

Mbeya City ilipigwa shoka na Mabingwa wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara na kupelekea kushuka daraja kwa Mbeya City waliopata nafasi ya kujiokoa kupitia mechi za mchujo. Hata hivyo, kama ilivyokuwa kwenye hatma yao, walipata kichapo kikubwa baada ya kucheza na kupoteza kwa jumla ya mabao 4-1 dhidi ya Mashujaa FC kwenye mechi ya mchujo kwenye zile gemu za mikondo miwili.

Hii inakuwa ni mara ya kwanza kwa Mbeya City kushuka daraja tangu wapandishwe daraja la juu kwenye ligi kwenye msimu wa mwaka 2013/14. Parimatch, tupo mbele sana katika kukuletea mechi za Simba dhidi ya Mbeya City mara tu zitakapopangwa tena. Pamoja na timu yetu ya wataalam waliobobea, tunatoa takwimu kwa muda wa 24/7 kuhusu hii timu na kutabiri matokeo ya michezo yao.

Utabiri wa Simba S.C. dhidi ya Mbeya City

Types of goals scored in this game

Sheria tatu huamua kushinda mkeka ukiwa Parimatch. Hizi ni pamoja na kuchambua kwa takwimu, vidokezo vya utaalam wa kubashiri, na asili za wachezaji husika. Kulingana na takwimu kutoka kwenye jedwali la hapo juu, bila shaka Simba ni timu kubwa kwenye ligi yetu, wakati klabu ya soka ya Mbeya City huanguka chini ya mstari.

Pamoja na hizi takwimu, unaweza kutabiri matokeo ya mechi kati ya Simba SC na Mbeya City na kushinda kiasi kikubwa sana. Sasa, ngoja tuangalie utabiri unaokuhakikishia ushindi.

Utabiri wa 1X2

Tunaelewa umuhimu wa utabiri wa 1X2 kwenye soka. Utabiri huu ni kuhusu kuamua matokeo ya mechi, kukiwa na chaguzi tatu: ushindi wa nyumbani (1), sare (X), au ushindi wa ugenini (2). Ni sawa sawa kwa namna hiyo.

Sisi tuna wataalam wetu wa kuchambua mambo kama vile mfumo wa timu, uchezaji wao kihistoria na taarifa nyingine za muhimu ili kufanya ubashiri sahihi wa 1X2. Kwa mfano, tarehe 22 Juni, 2021, Utabiri wetu wa 1X2 uliipendelea Simba SC kushinda gemu hiyo, na walifanya hivyo, wakashinda 4-1.

Vile vile, tarehe 23 Novemba, 2022, tulitabiri kwa usahihi kuhusu sare, na mechi ilimalizika kwa sare ya 1-1. Utabiri huu sahihi hutufanya tuwe ndiyo jukwaa lako la kulitumia sana unapotaka kubeti huku ukifahamu ni nini unafanya.

Utabiri wa Magoli Kuwa Juu/Chini ya (Jumla ya Mabao)

Wakati wa kubeti, utabiri wa Magoli kuwa Juu/Chini ya (Jumla ya Mabao) ni muhimu wakati wa kuchambua mienendo ya kufunga magoli kwenye mechi. Utabiri huu unahusu swali moja la muhimu sana: je, jumla ya magoli kwenye mchezo itazidi kiwango mahsusi au kubakia kuwa ni chini yake?

Yote ni juu ya kuelewa mtiririko wa mechi zenyewe. Kwa hiyo, tumejitolea kukupa chaguzi zilizo na ufahamu wa kutosha kwa ajili yako. Kwa mfano, kwenye mechi ya Juni 22, 2021, Utabiri wetu ulielekeza uwepo wa zaidi ya magoli 2.5, na mchezo ulitimiza utabiri kwa magoli matano kufungwa.

Vile vile, mnamo Novemba 23, 2022, wito wetu wa kuwa na magoli chini ya 2.5 ulithibitika kuwa ni wa moja kwa moja, kwani mechi iliisha kwa magoli mawili tu.

Jumla ya Kadi za Njano

The role of yellow cards in predictions

Utabiri wa jumla ya kadi za njano hutoa maarifa ya kipekee kuhusu mienendo ya mechi husika. Utabiri huu unalenga kutarajia ni kadi ngapi za njano ambazo timu zote zitazipata wakati wa mchezo husika.

Yote haya yana lengo la kuelewa umuhimu wa nidhamu uwanjani. Kwa mfano, kwenye mechi ya Juni 22, 2021, Utabiri ulikuwa na kadi nne au zaidi za njano, lakini gemu iliisha kwa kadi 3 tu.

Kinyume chake, tarehe 23 Novemba, 2022, kukawa na utabiri wa kadi tatu au chache za njano ambapo ulikuwa ni sahihi, kwani mechi iliisha kwa kadi 2 tu. Pamoja na mechi kama vile Simba dhidi ya Mbeya City, daima shinikizo ni mojawapo ya hayo; kwa hivyo, kadi za njano haziepukiki.

Kubeti Moja kwa Moja Mechi za Simba dhidi ya Mbeya City

Mechi nyingi za Simba dhidi ya Mbeya City zinaweza kubetiwa moja kwa moja kwani kuna wingi wa fursa. Unaweza kushinda kwa urahisi kwenye gemu za Simba ukitabiri kuwa kwenye kipindi cha 1 au cha pili cha mchezo huu. Kwa kuongezea, unaweza kushinda mechi za Simba dhidi ya Mbeya City pale unapotabiri kwenye kipindi cha pili kuwa kitakuwa na magoli mengi.

Mara nyingi, magoli huanza kutiririka kwenye kipindi cha pili, na hii hasa ni kwa sababu ya uchovu na kuelewa namna mpinzani anavyojilinda. Hapa Parimatch, unaweza kutazama namna mechi za moja kwa moja zinavyochezwa na zinavyopatikana kwa urahisi kupitia takwimu.

Uwezekano wa mechi kuisha kwa namna fulani wakati wa mchezo huwa na mabadiliko, hivyo basi kukupatia fursa ya kutumia nyakati zinazofaa kwako. Pia, unaweza kuyafuata matukio yanayoendelea kuchezwa, uchezaji wa wachezaji na mikakati ya timu kwenye muda halisi. Hii inafanya kubeti kwako kuwe ni kwa mkakati na sio kubahatisha tu.

Muhtasari

Kubeti ni sanaa ambayo inategemea mkakati wa wazi, vidokezo vya kitaalam, na uchambuzi wa kina wa takwimu, hasa pale ambapo michezo ya dabi inapochezwa. Simba dhidi ya Mbeya City ni mojawapo ya matukio machache yanayokufanya utake kutazama kandanda mara kwa mara.

Kwenye hili chapisho, tulizama kwenye historia na ushindani mkali kati ya Simba na Mbeya City, kutoa uchambuzi wa kina wa takwimu zao pale wanapokutana na matokeo ya awali. Sasa unaweza kubetia gemu za Simba dhidi ya Mbeya City kulingana na takwimu, sio kwa mawazo binafsi tu.

Hapa Parimatch, tunakupatia takwimu kwa wakati sahihi. Tunajivunia huduma bora kwa wateja na app rafiki ya simu pale unapobetia kwa urahisi. Mwishowe, tunakuletea ofa na mafao hivyo jambo hili litaongeza uzoefu wako wa kubetia.

Ichague Parimatch na uvuke upande unaoshinda zaidi!

Maswali Yanayoulizwa Sana

Wapi Pa Kutazama Mechi ya Simba S.C. dhidi ya Mbeya City F.C.

Unaweza kutazama mechi ya Simba S.C. dhidi ya Mbeya City F.C. kwenye Azam TV, Gotv, na DSTv.

Simba S.C. Ipo kwenye Ligi Gani?

Simba S.C inashiriki Ligi Kuu ya Tanzania Bara.

Soma Zaidi:

Taifa Stars Leo: Fahari ya Africa kwenye Muongozo wa Kubeti Soka Kimataifa

Je, unahitaji kuwa wa kwanza kupata taarifa mbalimbali?

Subscription was successfully completed.